Two Songs: "Birth and Every Step is Important!" | Sing with Ubongo Kids | Swahili Verses
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
آپ کو یہ بھی پسند آ سکتا ہے
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Statistics I - Mathematics Form 2
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
MATHS SHORT COURSES
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
The Life of Idi Amin Dada: The Man Who Ruled Uganda with an Iron Fist
The Day Osama Bin Laden's Al Qaeda Bombed Kenya
Count Animals! | Numbers & Shapes with Akili and Me | Learning videos for kids
ECZ MATHS GRADE 12
SSS10 Math
Celebrating STEM: counting and multiplication
Year1 Maths
GRADE 8 MATHEMATICS
Grade 10
GRADE 9 MATHEMATICS
THREE LANGUAGES!!! Arithmetic for the Wise | Song with Ubongo Kids | Swahili Proverbs
Vectors-Vector Components -10-Unit Vectors: Problems
مراجعة على الرياضيات | الصف السادس الابتدائي
2nd Grade Learning Adventures! 🎉📚 Explore & Grow!
Mathématiques 6e Primaire (Mr BOUZID Rachid)
MATHS TOPIC QUESTIONS
PrePrimary Maths
SSS 1 Mathematics
Pry1 Math
تبصرے
1 تبصرے
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
