Jifunze kuhusu nishati safi kupitia nyimbo kutoka Ubongo Kids na European Union! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
آپ کو یہ بھی پسند آ سکتا ہے
ECZ MATHS GRADE 12
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
MATHS SHORT COURSES
KCPE MATHS 2018
SS ONE | MATHEMATICS | GRADE 10 | FIRST TERM
Grade 4 Math Lessons Topic 1: Whole Numbers
Grade 2 Math Lessons Topic 11: Time
GRADE 9 MATHEMATICS
Grade 10
Grade 2 Math Lessons Topic 10: Capacity
Mathematics Grade 7: Measurements - Length
FRACTION GRADE 7 MATHEMATICS
Exam Review: Grade 10 math in 1 hour!
Grade 4 Math Lessons Topic 16: Angles
Grade 10 - Year end evaluation
Mathematics Grade 9: Numbers (Cubes and Cube Roots) @254CBC
KCSE 2019 PAPER 1
KCSE 2019 PAPER 2
ECZ PHYSICS GRADE 12
General maths
JAMB 2020
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
The Life of Idi Amin Dada: The Man Who Ruled Uganda with an Iron Fist
MATHS TOPIC COMPLETE COURSE
تبصرے
1 تبصرے
Jifunze kuhusu nishati safi kupitia nyimbo kutoka Ubongo Kids na European Union! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes ze
