Jifunze kuhusu kuweka akiba ya pesa kupitia hii episode nzima ya Ubongo Kids! Jamani, kumbuka kwamba akiba haiozi, na ukihifadhi pesa zako leo zitakusaidia wakati wa shida kesho! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
آپ کو یہ بھی پسند آ سکتا ہے
Year 1 | English Lessons
Alphabet Letter Hunt!
Pry2 English
The Alphabet in Magical Lands
Grade 1 English
Videos for Toddlers with Ms Rachel - Toddler Learning Videos
SS1 English Language
Best English Language Lessons for Nigerian Students
English Grammar Masterclass
Helping your child to learn with CBeebies
Magic Words with the Alphablocks
Phonics - Words Beginning With... | Alphablocks
MTN Spelling BEE
The Furchester Hotel
Primary 3, Time for English, English for kids | English for Primary 3
Primary 1 - 1st Term
Teach a Child to Read Videos
Cours CP/1AP دروس السنة الأولى ابتدائي
Pry 2 Primary English
Teach Reading with Phonics - American English Pronunciation!
Class 4-8 English Grammar | Complete Course | All Chapters Available
Back to school
SS1 Literature-in-English
Ms Rachel Visits Places in the Community
تبصرے
1 تبصرے
Jifunze kuhusu kuweka akiba ya pesa kupitia hii episode nzima ya Ubongo Kids! Jamani, kumbuka kwamba akiba haiozi, na ukihifadhi pesa zako leo zitakusaidia wakati wa shida kesho! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
