Dua Lagu "Vipimo" | Nyanyi dengan Ubongo Kids | Ayat-Ayat bahasa Swahili
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
Mungkin Anda Juga Suka
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Statistics I - Mathematics Form 2
All CBC Grade 4 Math Lessons | EasyElimu
SS ONE | MATHEMATICS | GRADE 10 | FIRST TERM
Grade 4 Math Lessons Topic 1: Whole Numbers
Grade 2 Math Lessons Topic 11: Time
Grade 6 Math
KCSE 2019 PAPER 1
KCSE 2019 PAPER 2
ECZ PHYSICS GRADE 12
General maths
JAMB 2020
ANGGOTA DAN PERANG: Di Dalaman Kamp Latihan Angkatan Darat Inggris di Kenya. Mengapa #BritishArmy /Prajurit Di Sini.
Hidup Idi Amin Dada: Pria yang Memerintah Uganda dengan Pukul Besar
MATHS TOPIC COMPLETE COURSE
BECE MATHS TOPICS
WAEC GENERAL
PHYSICS PRACTICALS
KCPE 2023
Hari Osama Bin Laden's Al Qaeda Menyerang Kenya
Baca dengan Akili dan Saya | Kartun untuk Anak Usia Dini | Kartun Afrika
MENCARI AL-SHABAAB: Di dalam 10 Tahun Perang Teror di Somalia. #KDF #Angkatan Darat Kenya #AMISOM
Komentar
1 Komentar
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
