Dua Lagu "Pemandangan + Tempat" | Nyanyikan dengan Ubongo Kids | Cuitan Bahasa Inggris
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
Mungkin Anda Juga Suka
Mathematics Lessons for JAMB, WAEC, NECO, NABTEB, SS1, SS2 and SS3 students
Year6 Maths
Pry 3 Primary Mathematics
Grade 12 Mathematics
JSS 2 Junior Mathematics
JSS1 Mathematics
JSS 3 Junior Mathematics
JSS 1 Junior Mathematics
SS1 Further Mathematics
Pry 5 Primary Mathematics
How to Play Chess
JSS2 Mathematics
Algebra I Math Lessons
Mathematics class
JSS1 Mathematics Lessons
Primary 3 Mathematics
Cambridge primary maths lectures
Mathematics | Primary 1
Matholia Primary 3
Mathematics Primary 2
Mathematics Grade 12 Algebraic Expressions, Equations and Inequalities
JSS1 LECTURES
New Syllabus Oxford Primary Mathematics Book 5
Class 1 Math, English Version
Komentar
1 Komentar
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
