Cerita dengan Mdadisi dan Ubongo Kids! | Konten Pendidikan Seru dalam Bahasa Indonesia
Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
Mungkin Anda Juga Suka
Primary 1 English
Primary 6 English
Nursery Rhymes | Words & Sounds
Primary 4 English
Pry1 English
Meet the Alphabet
Phonics - Journey Through the Alphabet! | Learn to Read | Alphablocks
English Vocabulary Primary 1
Primary 2 English
PrePrimary English
Learn English with Akili and Me!
Year4 English
Year 1 English
Learn English with Celebrities
Literacy
English Fluency Coaching Lessons
Baca dengan Akili dan Saya | Kartun untuk Anak Usia Dini | Kartun Afrika
Akili dan Sungai | Baca dengan Akili dan Saya | Kartun Pendidikan untuk Anak Usia Dini
Kiduchu Shupavu! | Video-video Kiduchu dari Ubongo Kids
Abjad Hewan | Kartun Afrika Akili and Me | Hewan Dari Afrika... dan Di Sekitar Dunia!
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
ANGGOTA DAN PERANG: Di Dalaman Kamp Latihan Angkatan Darat Inggris di Kenya. Mengapa #BritishArmy /Prajurit Di Sini.
GRADE 8 MATHEMATICS
Komentar
1 Komentar
Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
