Matematika | Belajarlah Matematika dengan Kekinian Anak-anak | Konten Pendidikan dalam Bahasa Indonesia
Je unajua tofauti kati ya +, -, x, na kadhalika? Jifunze matendo ya hisabati kutumia huu wimbo ya kuelimisha kutoka katuni ya Ubongo Kids! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
Mungkin Anda Juga Suka
Year9 Maths
Year 2 Math
Year7 Maths
Video 2 Bangun Ruang
Maths
Year 4 Math
Year 8 Math
Grade 10 Mathematics
Year 9 Math
Year 1 Math
SS2 Mathematics
Year 3 Math
Grade 11 Mathematics
Grade 1 Math
Calculus
Celebrating STEM: counting and multiplication
SSS10 Math
Year1 Maths
SSS12 Math
SSS11 Math
Pry 1 Primary Mathematics
JSS7 Math
Mathematics Lessons for JAMB, WAEC, NECO, NABTEB, SS1, SS2 and SS3 students
Pry1 Math
Komentar
1 Komentar
Je unajua tofauti kati ya +, -, x, na kadhalika? Jifunze matendo ya hisabati kutumia huu wimbo ya kuelimisha kutoka katuni ya Ubongo Kids! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na
