Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
आपको ये भी पसंद आ सकते हैं
SSS10 Math
SSS11 Math
Pry2 Math
JSS 2 Junior Mathematics
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
GRADE 8 MATHEMATICS
WELCOME TO THE KENYAN HISTORIAN | Kenya's Ultimate Channel for Captivating Documentaries. | Thank You
"The Day Idi Amin 'Killed' a Kenyan Minister: A Political Conspiracy"
PrePrimary Maths
Celebrating STEM: counting and multiplication
Year1 Maths
SSS12 Math
Pry 1 Primary Mathematics
SSS 2 Mathematics
Video 2: Spatial Figures
Year 10 Math
Algebra I | High School Math | Khan Academy
Trigonometry | High School Math | Khan Academy
Algebra II | High School Math | Khan Academy
Calcul de probabilités/Dénombrement/2SPCF- 2bacspcf/sciences techniques/Terminale S/dénombrement/Analyse combinatoire/variable aléatoire-loi binomiale
Year8 Maths
Year 7 Math
टिप्पणियाँ
1 टिप्पणियाँ
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
