Two Songs: "Birth and Every Step is Important!" | Sing with Ubongo Kids | Swahili Verses
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
आपको ये भी पसंद आ सकते हैं
JSS 3 Junior Mathematics
Pry 4 Primary Mathematics
Fresh Starts with Numberblocks! ❄️ | Learn to Count for Kids
Calculus
Pry 6 Primary Mathematics
Numberblocks - Homeschool
Chess Basics
Math on the Rocks
Series
New Syllabus Oxford Primary Mathematics Book 5
Numberblocks - Number Adventures | Learn to Count | Maths for Kids
Grade 12 Maths Exams
Math for Kids
Class X Maths Ch 17
Linear equations and functions | 8th Grade | Khan Academy
গণিতঃ ষষ্ঠ শ্রেণি (Six Math: Class 6)
Homeschool Math Curriculum
Summer Maths for Kids ☀️
Class 8 Mathematics of Sindh Textbook Board
Aprender a multiplicar y tablas de multiplicar
XII MATHS NEW BOOK CHAPTER 03 "DIFFERENTIATION"
Комплексные (мнимые) числа
9th Class Math Unit 11 - New Book 2025
Aprender a restar
टिप्पणियाँ
1 टिप्पणियाँ
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
