Two Songs: "Birth and Every Step is Important!" | Sing with Ubongo Kids | Swahili Verses
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
आपको ये भी पसंद आ सकते हैं
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Kenyan Police Guard the US Embassy in Haiti
STORYTIME: Akili and Friends Start a Band! | Akili and Me FULL STORY | Cartoons for Preschoolers
STORYTIME: The Animal Families! | Akili and Me FULL STORY | Cartoons for Preschoolers
“Kenya’s Game of Thrones: Why Gachagua Fell?”
How the 'Afghanistan War' Led an Ex-US Soldier to 'Kenya'
BARBECUE | Haitian Gang Leader Confronts Kenyan Troops
Transport in Plants & Animals I Form Two
Respiration
THE TITANIC FALL: The Decline of Webuye's Paper Mills
GRADE 8 MATHEMATICS
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
Statistics I - Mathematics Form 2
All CBC Grade 4 Math Lessons | EasyElimu
SS ONE | MATHEMATICS | GRADE 10 | FIRST TERM
Grade 6 Math
Grade 4 Math Lessons Topic 11: Volume
KCSE 2019 PAPER 1
KCSE 2019 PAPER 2
General maths
ECZ PHYSICS GRADE 12
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
टिप्पणियाँ
1 टिप्पणियाँ
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
