Mziki wa Ubongo Kids - Three-Season Songs! Mathematics, Science, Engineering, and Technology!
Burudika na ujifunze kupitia nyimbo za Ubongo Kids! Tuimbe wote! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
आपको ये भी पसंद आ सकते हैं
ECZ MATHS GRADE 12
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Statistics I - Mathematics Form 2
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
WELCOME TO THE KENYAN HISTORIAN | Kenya's Ultimate Channel for Captivating Documentaries. | Thank You
"The Day Idi Amin 'Killed' a Kenyan Minister: A Political Conspiracy"
PrePrimary Maths
SSS10 Math
Celebrating STEM: counting and multiplication
Year1 Maths
MATHS TOPIC QUESTIONS
GRADE 8 MATHEMATICS
Grade 10
GRADE 9 MATHEMATICS
JSS 2 Junior Mathematics
Functions and their graphs | Algebra II | Khan Academy
Trigonometry | High School Math | Khan Academy
A savoir faire en mathématiques en Seconde
SSS11 Math
Year2 Maths
CALCULUS
Grade 11 Mathematics
MATHS SHORT COURSES
Grade 4 Math Lessons Topic 1: Whole Numbers
टिप्पणियाँ
1 टिप्पणियाँ
Burudika na ujifunze kupitia nyimbo za Ubongo Kids! Tuimbe wote! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
