Let's Investigate and Verify! | Message from Koba, Kibena, Kiduchu, Amani, and Baraka!
Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
Vous aimerez aussi
A Doll For All! | Read with Akili and Me | African Educational Cartoons
Halloween with Ms Rachel
Class-2 ENGLISH (Mridang)
MTN Spelling BEE
CBSE Class 10 English Full Course: Literature and Grammar Explained
So Did the Pauper - The Prince and the Pauper - Fairy Tale Songs for Kids by English Singsing
Class 6 English (Bangladesh) | ষষ্ঠ শ্রেণির ইংরেজি । ৬ষ্ঠ শ্রেণির ইংরেজি
What Do You Do on Mondays?
دروس رابعة ابتدائي لغة انجليزية 🇬🇧
SS 1 Mathematics
SS 3 Physics
SS 2 Physics
SS 2 Biology
Primary 1 Science & Technology
Shapes, Colors, & Music by CoComelon
SS 2 Government
SS 1 Physical
SS 1 Literature
Baby Learning with CoComelon - Colors, Shapes and Numbers!
KS1 Music
🎬⭐️ BRAND NEW Episodes | Talking Tom Shorts: Season 3 🤣💙
KS2 Spanish
KS2 Maths
Feelings and Emotions Songs for Kids
Commentaires
1 commentaires
Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
