Kaya na si Ubongo Kids sa Swahili at Ingles! Kanta, suriin, alisin!
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: Angalia Ubongo Kids kila jumamosi na jumapili saa 3 asubuhi TBC1! Na pata webisodes zote kupitia: Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua iliyo katika mfumo wa elimu-burudani kutoka UBONGO MEDIA ya Dar es Salaam. Inaonyeshwa kila jumamosi na jumapili saa 3 asubuhi TBC1. /ubongokids /ubongokids /ubongotz
Maaari Mo Ring Magustuhan
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
WAEC GENERAL
PHYSICS PRACTICALS
KCPE 2023
Ang Araw na Binombahan ng Al Qaeda ni Osama Bin Laden ang Kenya
MATHS SHORTCUT/TRICKS
JAMB 2021 TOPICS
KCPE 2022 REVISION
KCPE 2019
KCPE TOPICS
TRIGONOMETRY
Bumasa kasama si Akili at Ako | Mga Kartun para sa mga Preschooler | Mga African Cartoons
BECE PAST QUESTIONS 2018
MATHS TRICK
KCPE SCIENCE
HUNTING AL-SHABAAB: Sa Loob ng 10 Taon ng Digmaan Laban sa Terorismo sa Somalia. #KDF #KenyanForces #AMISOM
BECE ENGLISH 2019
Animal Alphabet | Mga Cartoons sa Africa na si Akili at Ako | Mga Hayop mula sa Africa... at sa buong mundo!
This Investment Banker’s Money Secrets Could Change Your Life
GED MATHS SERIES
MATHS SHORT COURSES
GRADE 8 MATHEMATICS
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
Statistics I - Mathematics Form 2
Mga Komento
1 Mga Komento
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: Angalia Ubongo Kids kila jumamosi na jumapili saa 3 asubuhi TBC1! Na pata webisodes zote kupitia: Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua iliyo katika mfumo wa elimu-burudani kutoka UBONGO MEDIA ya Dar es Salaam. Inaonyeshwa kila jumamosi na jumapili saa 3 asubuhi TBC1
