Bila sisi kuzingatia usafi wa mazingira dunia yetu itaaribika! Tujifunze zaidi kuhusu usafi wa mazingira kupitia huu wimbo wa Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
आपको ये भी पसंद आ सकते हैं
Read with Akili and Me | Cartoons for Preschoolers | African Cartoons
Akili and the River | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
MATHS TOPIC QUESTIONS
This Investment Banker’s Money Secrets Could Change Your Life
How the 'Afghanistan War' Led an Ex-US Soldier to 'Kenya'
KCPE 2022
KCSE 2019 PAPER 1
KCSE 2019 PAPER 2
ECZ MATHS GRADE 12
ECZ PHYSICS GRADE 12
General maths
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
JAMB 2020
The Life of Idi Amin Dada: The Man Who Ruled Uganda with an Iron Fist
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
KCPE 2023
PHYSICS PRACTICALS
The Day Osama Bin Laden's Al Qaeda Bombed Kenya
KCPE 2022 REVISION
"Why Kenyans Feared Nicholas Biwott | Buried Secrets"
Akili and Friends at the Market | New Words with Akili and Me | African Educational Cartoons
“Kenya’s Game of Thrones: Why Gachagua Fell?”
Making money is easier than you think || Abdinoor Alimahdi
Primary 6 English
टिप्पणियाँ
1 टिप्पणियाँ
Bila sisi kuzingatia usafi wa mazingira dunia yetu itaaribika! Tujifunze zaidi kuhusu usafi wa mazingira kupitia huu wimbo wa Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
