Burudika na ujifunze kuhusu kundi la wanyama kupitia katuni ya Ubongo Kids! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
قد يعجبك أيضًا
Read with Akili and Me | Cartoons for Preschoolers | African Cartoons
Animal Alphabet | Akili and Me African Cartoons | Animals from Africa... and around the World!
Akili Loves to Read | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
THE TITANIC FALL: The Decline of Webuye's Paper Mills
Reproduction I Form Three
Grade 6 Math
MATHS TOPIC QUESTIONS
KCSE 2019 PAPER 1
KCSE 2019 PAPER 2
ECZ MATHS GRADE 12
ECZ PHYSICS GRADE 12
General maths
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
JAMB 2020
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
The Life of Idi Amin Dada: The Man Who Ruled Uganda with an Iron Fist
MATHS TOPIC COMPLETE COURSE
BECE MATHS TOPICS
PHYSICS PRACTICALS
WAEC GENERAL
KCPE 2023
The Day Osama Bin Laden's Al Qaeda Bombed Kenya
GRADE 8 MATHEMATICS
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
التعليقات
1 تعليق
Burudika na ujifunze kuhusu kundi la wanyama kupitia katuni ya Ubongo Kids! Jamani! Mwaka huu, Ubongo Kids ni ZAIDI ya hisabati na sayansi! Msimu huu si KAMA ULIVYOZOEA! Ubongo Kids MPYA inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Msimu wa 3 wa Ubongo Kids utakuandaa kifikra, ukichochea uwezo wako wa kung’amua matatizo na kuyatafutia ufumbuzi. Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zo
